Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dk. Mpoki Ulisubisya akitoa muongozo wa namna ya uwasilishwaji wa mada mbalimbali katika mkutano wa Wataalam kuhusu Mapitio ya Sekta ya Afya kwa mwaka 2017 - Technical Review Meeting (TRM).
Mkuu wa Ofisi ya Kanda Sikika - Dodoma, Bw. Richard Msittu akitoa utambulisho wa Shirika kwa Wadau wa Afya katika Mkutano - Manispaa ya Kigoma Ujiji.