Send SMS: 0688493882

Follow us:

Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dk. Mpoki Ulisubisya akitoa muongozo    wa namna ya uwasilishwaji wa mada mbalimbali katika mkutano wa  Wataalam kuhusu Mapitio ya Sekta ya Afya kwa  mwaka 2017 - Technical Review Meeting (TRM). 

Mkuu wa Ofisi ya Kanda Sikika - Dodoma, Bw. Richard Msittu akitoa utambulisho wa Shirika  kwa Wadau wa Afya      katika Mkutano - Manispaa ya Kigoma Ujiji.