Send SMS: 0688493882

Follow us:

Chama cha Madaktari Tanzania (MAT) na taasisi ya Sikika wamekutana na Katibu Mkuu wa CCM, Dk. Bashiru Ally ofisini kwake Dodoma. MAT iliwakilishwa na rais wake Dk. Elisha Osati na Sikika iliwakilishwa na Mkurugenzi wake Mtendaji Bw. Irenei Kiria. 

From left: Sikika Head of Finance Ms. Beatrice Kitinde and Executive Director Mr. Irenei Kiria after receiving the award for the best presented financial statements for the year 2018.

Sikika’s Director of Programs, Patrick Kinemo acknowledging GIZ for supporting the organisation’s PFM program and SAM training for staff members in South Africa.

Mkurugenzi wa Kituo cha Haki za Binadamu nchini (LHRC), Bi. Helen Kijo Bisimba (Kushoto) na Balozi wa Sweden  nchini Tanzania Bi. Katarina Rangitt wakikata utepe ikiwa ni ishara ya uzinduzi rasmi wa Ripoti ya Haki za Binadamu  kwa mwaka 2017. Ripoti hiyo inaonyesha kuwa na ongezeko kubwa la ukiukwaji wa haki nchini. Haki 5 zilizovunjwa  zaidi mwaka 2017 ni Haki ya Kuishi, Haki dhidi ya Ukatili, Haki ya na Usalama wa Mtu, Uhuru wa Kujieleza, Uhuru wa  kukusanyika na Uhuru wa Kujumuika. #HumanRightsReport