Send SMS: 0688493882

Follow us:

unasikitishwa na tunalaani mwendelezo wa ukiukwaji wa maadili ya utumishi wa umma unaofanywa na baadhi ya watumishi wa afya. Hivi karibuni imeripotiwa na vyombo vya habari kwamba watumishi wawili wa afya katika zahanati ya Mwanhala wilayani Nzega wanatuhumiwa kuwataka kimapenzi wagonjwa. Taarifa hizo pia zilieleza kwamba mmoja wa watumishi hao amewahi kukutwa akifanya ‘mapenzi’ wodini na mgonjwa, nyakati za kazi. Download Here