Tamko kuhusu namna ya kuboresha uandaaji na upitishaji wa bajeti ya serikali: Machi 2016
Tunatoa tamko hili sio kwa sababu hatujaona na kuthamini juhudu ambazo serikali ya awamu ya tano inafanya kudhibiti matumizi yasiyo ya lazima bali tunakusudia kutoa tahadhari kwa watendaji wanaohusika na kutengeneza bajeti ya mwaka 2016/17. Download Here